
Liverpool imewashinda kirahisi mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Uingereza Leicester katika mchezo wao wa kwanza wakichezea katika dimba la nyumbani katika msimu huu.
Wekundu hao walionekana hawakamatiki baada ya Roberto Firmino kuunganisha pande la James Milner na kuandika goli la kwanza, kicha Daniel Sturridge kutoa pasi ya kisigino iliyofungwa na Sadio Mane.

Roberto Firmino akitoka nduki kushangilia goli lake alilofunga

Jamie Vardy akiokota mpira wavuni baada ya kufunga goli pekee la Leicester City
Post a Comment