0


Luis Nani ameng'ara wakati Cristiano Ronaldo akikosekana kwa kuifungia Ureno magoli mawili katika ushindi wa magoli 5-0 dhidi ya taifa changa kisoka la Gibraltar, ukiwa ni mchezo wa kwanza kwa mabingwa hao wa Ulaya.


Mchezo huo wa kirafiki uliofanyika Porto, ulikuwa pia ni wa kwanza kwa Gibraltar tangu kupata uanachama kutoka kwa shirikisho la soka duniani FIFA Mei mwaka huu, kuelekea kufuzu michuano ya kombe la dunia 2018.
 Luis Nani akiruka sarakasi baada ya kufunga goli 
 Kipa wa Gibraltar akiwa amekaa chini akimuangalia Nani

Post a Comment

 
Top