![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiHJJM-h_bW5dRJ6WO9tgObBAG_k8L0tTJHVWEumU_UhTac0_iFLz78OtgUkTFhJnXUM3Y61oW7Dac15pRfl06Vot_O1sqSIlPg24-1z43LscaQTYqU7OHeLXcB_7rnxrzsvV-I30on_AQ/s1600/1.png)
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetoa ratiba ya makundi ya kufuzu michuano ya Mataifa ya Afrika mwaka 2019 (AFCON2019) michuano ambayo itafanyika nchini Cameroon.
Tanzania imepangwa katika kundi L ikiwa pamoja na Uganda, Lesotho na Cape Verde.
Michuano hii hufanyika kila baada ya miaka miwili ambapo mwaka 2017 inafanyikia nchi Gabon ambapo inatarajiwa kuanza leo Januari 14, 2017.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgnVA3J8HASGG26VPEYwBkCwSNKTtnnF1_KN2zqGFdSVA3d3veqR9mTgZie_0E-0NKU9gbkw-y6jSQEgDqEALS454Z0hPbd1wFwO8-C_OHuuWcAUR8425DDAqZsnggwgE-cdUUg_JblCac/s640/2.jpg)
Post a Comment