
Polisi walibaini silaha hizo haramu kwenye nyumba ya mwenyekiti huyo ambaye ni mwendesha crane aitwae James Arnold huko Wyverstone, Suffolk, ni shehena kubwa ya silaha kuwahi kukutwa Uingereza.
Hata hivyo miezi mitatu kupita tangu kukamatwa kwa shehena hiyo na mtuhumiwa kukamatwa, alikuja kufariki kwa ugonjwa wa saratani ya kongosho na hakuweza kushtakiwa na kutiwa hatiani.

Sehemu ya shehena ya silaha hizo kama inavyoonekana

Aina tofauti ya silaha hizo kama zinavyoonekana
>>>>> CHANZO, RWEYUNGA BLOG
Post a Comment